Menu Close

Imani Ya Mitume

Ninamwamini Mungu, Baba Mwenyezi,

Muumba wa mbingu na dunia;

Na Yesu Kristo,

Mwana wake wa pekee, Bwana wetu,

aliyetwaa mwili kwa tendo la Roho Mutakatifu,

akazaliwa na Bikira Maria.

Akateswa zamani za Pontio Pilato,

akasulibiwa, akafa, akazikwa,

akashuka kuzimuni mwa wafu,

akafufuka katika wafu siku ya tatu,

akapanda mbinguni,

anakaa kwa mukono wa kuume wa Mungu,

Baba Mwenyezi,

ndipo atakuja tena kuhukumu wazima na wafu.

Ninamwamini Roho Mutakatifu,

Kanisa katolika takatifu,

ushirika wa watakatifu,

ondoleo la zambi,

ufufuko wa mwili,

na uzima wa milele.  Amina

Show Buttons
Hide Buttons